Rukia maudhui
1 Wakorintho 3:12-14

1 Wakorintho 3:12-14

12
Kama mtu yeyote akijenga juu ya msingi huu kwa kutumia dhahabu, fedha, vito vya thamani, miti, majani au nyasi,
13
kazi yake itaonekana ilivyo, kwa kuwa Siku ile itaidhihirisha. Itadhihirishwa kwa moto, nao moto utapima ubora wa kazi ya kila mtu.
14
Kama kile alichojenga kitabaki, atapokea thawabu yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options