Skip to content
1 Wakorintho 15:15-19

1 Wakorintho 15:15-19

15
Zaidi ya hayo, twaonekana kuwa mashahidi wa uongo kuhusu Mungu, kwa sababu tumeshuhudia kumhusu Mungu kwamba alimfufua Kristo kutoka kwa wafu, lakini hilo haliwezi kuwa kweli kama wafu hawafufuliwi.
16
Kwa kuwa kama wafu hawafufuliwi, basi hata Kristo hajafufuka.
17
Tena kama Kristo hajafufuliwa, imani yenu ni batili; nanyi bado mko katika dhambi zenu.
18
Hivyo basi, wote waliolala katika Kristo wamepotea.
19
Ikiwa tumaini letu ndani ya Kristo ni kwa ajili ya maisha haya tu, sisi tunastahili kuhurumiwa kuliko watu wote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options