Skip to content
1 Wakorintho 14:29-33

1 Wakorintho 14:29-33

29
Manabii wawili au watatu wanene na wengine wapime yale yasemwayo.
30
Kama mtu yeyote aliyeketi karibu, akipata ufunuo, basi yule wa kwanza na anyamaze.
31
Kwa maana wote mnaweza kutoa unabii, mmoja baada ya mwingine, ili kila mtu apate kufundishwa na kutiwa moyo.
32
Roho za manabii huwatii manabii.
33
Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko bali ni Mungu wa amani. Kama ilivyo katika makusanyiko yote ya watakatifu,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options