1 Wakorintho 14:2-3
2
Kwa maana mtu yeyote anayesema kwa lugha, hasemi na wanadamu bali anasema na Mungu. Kwa kuwa hakuna mtu yeyote anayemwelewa, kwani anasema mambo ya siri kwa roho.
3
Lakini anayetoa unabii anasema na watu akiwajenga, kuwatia moyo na kuwafariji.