1 Wakorintho 13:9-12
9
Kwa maana tunafahamu kwa sehemu na tunatoa unabii kwa sehemu.
10
Lakini ukamilifu ukija, yale yasiyo kamili hutoweka.
11
Nilipokuwa mtoto, nilisema kama mtoto, niliwaza kama mtoto, nilifikiri kama mtoto. Nilipokuwa mtu mzima niliacha mambo ya kitoto.
12
Kwa maana sasa tunaona taswira kama kwa kioo, lakini wakati huo tutaona wazi. Sasa nafahamu kwa sehemu, wakati huo nitafahamu kikamilifu, kama vile mimi ninavyofahamika kikamilifu.
Settings