דלג לתוכן
1 Wakorintho 1:5-7

1 Wakorintho 1:5-7

5
Kwa kuwa katika Kristo mmetajirishwa kwa kila hali, katika kusema kwenu na katika maarifa yenu yote,
6
kwa sababu ushuhuda wetu kumhusu Kristo ulithibitishwa ndani yenu.
7
Kwa hiyo hamkupungukiwa na karama yoyote ya kiroho wakati mnangoja kwa shauku kudhihirishwa kwa Bwana wetu Yesu Kristo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options