Skip to content
1 Nyakati 8:29-35

1 Nyakati 8:29-35

29
Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
30
Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
31
Gedori, Ahio, Zekeri,
32
na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
33
Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
34
Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
35
Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options