1 Nyakati 6:66-70
66
Baadhi ya koo za Wakohathi walipewa kama nchi yao miji kutoka kabila la Efraimu.
67
Katika nchi ya vilima ya Efraimu walipewa Shekemu (mji wa makimbilio) na Gezeri,
68
Yokmeamu, Beth-Horoni,
69
Aiyaloni na Gath-Rimoni, pamoja na maeneo yake ya malisho.
70
Kutoka nusu ya kabila la Manase, Waisraeli waliwapa koo za Wakohathi waliobaki miji ya Aneri na Bileamu pamoja na maeneo yake ya malisho.
Settings