Skip to content
1 Nyakati 4:11-12

1 Nyakati 4:11-12

11
Kelubu, nduguye Shuha, akamzaa Mehiri, naye Mehiri akamzaa Eshtoni.
12
Eshtoni akawazaa Beth-Rafa, Pasea na Tehina. Tehina alikuwa baba wa Iri-Nahashi. Hawa ndio waliokuwa wazao wa Reka.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options