1 Nyakati 3:5-8
5
nao hawa ndio watoto wa Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu: mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia Shamua, Shobabu, Nathani na Solomoni.
6
Pia kulikuwa na wana wengine: Ibihari, Elishua, Elifeleti,
8
Elishama, Eliada na Elifeleti; wote walikuwa tisa.