Skip to content
1 Nyakati 3:5-8

1 Nyakati 3:5-8

5
nao hawa ndio watoto wa Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu: mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia Shamua, Shobabu, Nathani na Solomoni.
6
Pia kulikuwa na wana wengine: Ibihari, Elishua, Elifeleti,
7
Noga, Nefegi, Yafia,
8
Elishama, Eliada na Elifeleti; wote walikuwa tisa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options