1 Nyakati 3:5-9
5
nao hawa ndio watoto wa Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu: mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia Shamua, Shobabu, Nathani na Solomoni.
6
Pia kulikuwa na wana wengine: Ibihari, Elishua, Elifeleti,
7
Noga, Nefegi, Yafia,
8
Elishama, Eliada na Elifeleti; wote walikuwa tisa.
9
Hawa wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wana waliozaliwa na masuria. Naye Tamari alikuwa dada yao.
Settings