Skip to content
1 Nyakati 2:18-19

1 Nyakati 2:18-19

18
Kalebu mwana wa Hesroni akazaa wana na mkewe Azuba (na pia na Yeriothi). Hawa ndio wana Azuba aliomzalia Kalebu: Yesheri, Shobabu na Ardoni.
19
Azuba alipofariki, Kalebu akamwoa Efrathi, ambaye alimzalia Huri.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options