Skip to content
1 Nyakati 18:12-13

1 Nyakati 18:12-13

12
Abishai mwana wa Seruya akawaua Waedomu 18,000 katika Bonde la Chumvi.
13
Akaweka kambi za askari walinzi huko Edomu, nao Waedomu wote wakawa watumishi wa Daudi. Bwana akampa Daudi ushindi kila alipokwenda.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options