Rukia maudhui
1 Nyakati 17:3-6

Mungu akataa ombi la Daudi

1 Nyakati 17:3-6
3
Usiku ule neno la Mungu likamjia Nathani, kusema:
4
“Nenda ukamwambie mtumishi wangu Daudi, ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Wewe hutanijengea mimi nyumba ili nikae humo.
5
Mimi sijakaa ndani ya nyumba tangu siku ile niliyowatoa Israeli kutoka Misri mpaka leo. Nimehama kutoka hema moja hadi jingine na kutoka mahali pamoja hadi pengine.
6
Je, popote nilipokwenda pamoja na Waisraeli wote, wakati wowote nilimwambia kiongozi yeyote niliyemwagiza kuwachunga watu wangu, kwa nini hujanijengea nyumba ya mierezi?’
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options