Skip to content
1 Nyakati 16:23-26

1 Nyakati 16:23-26

23
Mwimbieni Bwana dunia yote; tangazeni wokovu wake siku baada ya siku.
24
Tangazeni utukufu wake katikati ya mataifa, matendo yake ya ajabu miongoni mwa mataifa yote.
25
Kwa kuwa Bwana ni mkuu, mwenye kustahili kusifiwa kuliko wote; yeye ni wa kuogopwa kuliko miungu yote.
26
Kwa maana miungu yote ya mataifa ni sanamu, lakini Bwana aliziumba mbingu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options