Skip to content
1 Nyakati 16:2-3

1 Nyakati 16:2-3

2
Baada ya Daudi kumaliza kutoa hizo sadaka za kuteketezwa na hizo sadaka za amani, akawabariki watu katika jina la Bwana.
3
Kisha akamgawia kila Mwisraeli mwanaume na mwanamke mkate, andazi la tende na andazi la zabibu kavu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options