Skip to content
1 Nyakati 16:19-21

1 Nyakati 16:19-21

19
Walipokuwa wachache kwa idadi, wachache sana na wageni ndani yake,
20
walitangatanga kutoka taifa moja hadi jingine, kutoka ufalme mmoja hadi mwingine.
21
Hakuruhusu mtu yeyote awaonee; kwa ajili yao aliwakemea wafalme, akisema:
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options