Skip to content
1 Nyakati 16:1-2

1 Nyakati 16:1-2

1
Wakaleta Sanduku la Mungu na kuliweka ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamisha kwa ajili yake, na wakatoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani mbele za Mungu.
2
Baada ya Daudi kumaliza kutoa hizo sadaka za kuteketezwa na hizo sadaka za amani, akawabariki watu katika jina la Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options