Rukia maudhui
1 Nyakati 15:1-2

Daudi aanda mahali pa Sanduku

1 Nyakati 15:1-2
1
Baada ya Daudi kujijengea nyumba zake katika Mji wa Daudi, akatengeneza sehemu kwa ajili ya Sanduku la Mungu, kisha akasimamisha hema kwa ajili yake.
2
Kisha Daudi akasema, “Hakuna mtu yeyote anayeruhusiwa kulibeba Sanduku la Mungu isipokuwa Walawi peke yao, kwa sababu Bwana aliwachagua kulibeba Sanduku la Bwana na kuhudumu mbele zake milele.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options