Skip to content
1 Nyakati 13:11-12

1 Nyakati 13:11-12

11
Ndipo Daudi akakasirika kwa sababu ghadhabu ya Bwana ilifurika dhidi ya Uza, mahali pale pakaitwa Peres-Uza hadi leo.
12
Siku ile Daudi akamwogopa Mungu naye akauliza. “Nitawezaje kulichukua Sanduku la Mungu kwangu?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options