Skip to content
1 Nyakati 11:4-5

1 Nyakati 11:4-5

4
Daudi na Waisraeli wote wakaenda Yerusalemu (ndio Yebusi). Nao Wayebusi walioishi humo
5
wakamwambia Daudi, “Wewe hutaingia humu.” Hata hivyo, Daudi akaiteka ngome ya Sayuni, Mji wa Daudi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options