Skip to content

Zaburi117

1
Msifuni Bwana, enyi mataifa yote; mtukuzeni yeye, enyi watu wote.
2
Kwa kuwa upendo wake kwetu ni mkuu, uaminifu wa Bwana unadumu milele. Msifuni Bwana.
Use arrow keys to navigate
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options