Zaburi117
Listen to this chapter
0:00
0:00
Wito wa Kumsifu Mungu Ulimwenguni
1
Msifuni Bwana, enyi mataifa yote; mtukuzeni yeye, enyi watu wote.
2
Kwa kuwa upendo wake kwetu ni mkuu, uaminifu wa Bwana unadumu milele. Msifuni Bwana.
Use ← → arrow keys to navigate
Settings
Reading Style
Typeface
Font Size px
Reading Width chars
Options
Study Note