Skip to content

Moreh

1 verse

32.6100, 35.3500 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Moreh

  1. Ndipo Yerub-Baali (yaani Gideoni) na lile jeshi lililokuwa pamoja naye, wakaondoka asubuhi na mapema na kupiga kambi kando ya chemchemi ya Harodi. Kambi ya Wamidiani ilikuwa kaskazini yao katika bonde karibu na kilima cha More.