Baale-judah
Anajulikana pia kama: Baale
31.7700, 34.9900 Tazama kwenye Ramani za Google
Mistari inayomtaja Baale-judah
Yeye na watu wake wote wakatoka Baala ya Yuda kulipandisha Sanduku la Mungu kutoka huko, linaloitwa kwa Jina, naam, jina la Bwana Mwenye Nguvu Zote, ambaye anaketi katika kiti cha enzi kati ya makerubi walioko juu ya hilo Sanduku.