Skip to content

Loruhamah

2 mistari · 4 wanafamilia

Anajulikana pia kama: Lo-ruhamah

Mistari inayomtaja Loruhamah

  1. Gomeri akachukua tena mimba akamzaa binti. Kisha Bwana akamwambia Hosea, “Mwite Lo-Ruhama, kwa maana sitaonyesha tena upendo kwa nyumba ya Israeli, kwamba nisije kabisa nikawasamehe.

  2. Baada ya Gomeri kumwachisha Lo-Ruhama kunyonya, Gomeri alipata mwana mwingine.