Skip to content
Sefania 3:12-13

Sefania 3:12-13

12
Lakini nitakuachia ndani yako wapole na wanyenyekevu, ambao wanatumaini jina la Bwana.
13
Mabaki ya Israeli hayatafanya kosa; hawatasema uongo, wala udanganyifu hautakuwa katika vinywa vyao. Watakula na kulala wala hakuna yeyote atakayewaogopesha.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options