Skip to content
Sefania 3:1-4

Sefania 3:1-4

1
Ole mji wa wadhalimu, waasi na waliotiwa unajisi!
2
Hautii mtu yeyote, haukubali maonyo. Haumtumaini Bwana, haukaribii karibu na Mungu wake.
3
Maafisa wake ni simba wangurumao, watawala wake ni mbwa mwitu wa jioni, ambao hawabakizi chochote kwa ajili ya asubuhi.
4
Manabii wake ni wenye kiburi, ni wadanganyifu. Makuhani wake hunajisi patakatifu na kuihalifu sheria.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options