Skip to content
Sefania 1:7-8

Sefania 1:7-8

7
Nyamazeni mbele za Bwana Mwenyezi, kwa maana siku ya Bwana iko karibu. Bwana ameandaa dhabihu, amewaweka wakfu wale aliowaalika.
8
Katika siku ya dhabihu ya Bwana nitawaadhibu wakuu na wana wa mfalme na wale wote wanaovaa nguo za kigeni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options