Skip to content
Sefania 1:2-3

Sefania 1:2-3

2
Bwana asema, “Nitafagia kila kitu kutoka kwenye uso wa dunia.”
3
“Nitafagilia mbali watu na wanyama; nitafagilia mbali ndege wa angani na samaki wa baharini. Wafanyao maovu watapata tu kokoto, nami nitamkatilia mbali mwanadamu atoke katika dunia,” asema Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options