Hoppa till innehåll
Zekaria 8:3-5

Zekaria 8:3-5

3
Hili ndilo asemalo Bwana: “Nitarudi Sayuni na kufanya makao Yerusalemu. Kisha Yerusalemu utaitwa mji wa kweli, mlima wa Bwana Mwenye Nguvu Zote utaitwa Mlima Mtakatifu.”
4
Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote: “Kwa mara nyingine tena wazee wanaume kwa wanawake walioshiba umri wataketi katika barabara za Yerusalemu, kila mmoja akiwa na mkongojo wake mkononi kwa sababu ya umri wake.
5
Barabara za mji zitajaa wavulana na wasichana wanaocheza humo.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options