Skip to content
Zekaria 8:18-19

Zekaria 8:18-19

18
Neno la Bwana Mwenye Nguvu Zote likanijia tena.
19
Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote: “Saumu za miezi ya nne, tano, saba na kumi itakuwa sikukuu za furaha na za shangwe kwa Yuda. Kwa hiyo uipende kweli na amani.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options