Skip to content
Zekaria 7:5-6

Zekaria 7:5-6

5
“Waulize watu wote wa nchi na makuhani, ‘Je, mlipofunga na kuomboleza katika mwezi wa tano na wa saba kwa miaka sabini iliyopita, mlifunga kweli kwa ajili yangu?
6
Na mlipokuwa mkila na kunywa, je, hamkuwa mnasherehekea kwa ajili ya nafsi zenu?
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options