Skip to content
Zekaria 7:8-10

Zekaria 7:8-10

8
Neno la Bwana likamjia tena Zekaria:
9
“Hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote: ‘Fanyeni hukumu za haki, onyesheni rehema na huruma ninyi kwa ninyi.
10
Msimwonee mjane wala yatima, mgeni wala maskini. Msiwaziane mabaya mioyoni mwenu ninyi kwa ninyi.’
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options