Skip to content
Zekaria 5:1-2

Zekaria 5:1-2

1
Nikatazama tena: na hapo mbele yangu kulikuwa na kitabu kilichoruka!
2
Akaniuliza, “Unaona nini?” Nikamjibu, “Naona kitabu kinachoruka chenye, urefu wa dhiraa ishirini na upana wa dhiraa kumi.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options