Skip to content
Zekaria 11:4-5

Zekaria 11:4-5

4
Hili ndilo asemalo Bwana Mungu wangu: “Lilishe kundi lililokusudiwa kuchinjwa.
5
Wanunuzi wake huwachinja na kuondoka pasipo kuadhibiwa. Wale wanaowauza husema, ‘Bwana asifiwe, mimi ni tajiri!’ Wachungaji wao wenyewe hawawahurumii.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options