Skip to content
Zekaria 11:1-2

Zekaria 11:1-2

1
Fungua milango yako, ee Lebanoni, ili moto uteketeze mierezi yako!
2
Piga yowe, ee mti wa msunobari, kwa kuwa mwerezi umeanguka; miti ya fahari imeharibiwa! Piga yowe, enyi mialoni ya Bashani, msitu mnene umefyekwa!
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options