Skip to content
Warumi 9:7-8

Warumi 9:7-8

7
Wala hawakuwi wazao wa Abrahamu kwa sababu wao ni watoto wake, lakini: “Uzao wako utahesabiwa kupitia kwake Isaki.”
8
Hii ina maana kwamba, si watoto waliozaliwa kimwili walio watoto wa Mungu, bali ni watoto wa ahadi wanaohesabiwa kuwa uzao wa Abrahamu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options