Warumi 9:11-13
11
Lakini, hata kabla hao mapacha hawajazaliwa au kufanya jambo lolote jema au baya, ili kwamba kusudi la Mungu la kuchagua lipate kusimama,
12
si kwa matendo, bali kwa yeye mwenye kuita, Rebeka aliambiwa, “Yule mkubwa atamtumikia yule mdogo.”
13
Kama vile ilivyoandikwa, “Nimempenda Yakobo, lakini nimemchukia Esau.”
Settings