Skip to content
Warumi 8:23-25

Warumi 8:23-25

23
Wala si hivyo viumbe peke yao, bali hata sisi ambao ndio matunda ya kwanza ya Roho, kwa ndani tunalia kwa uchungu tukisubiri kwa shauku kufanywa wana wa Mungu, yaani, ukombozi wa miili yetu.
24
Kwa kuwa tuliokolewa kwa tumaini hili. Lakini kama kinachotumainiwa kikionekana hakiwi tumaini tena. Je, kuna mtu anayetumaini kupata kitu alicho nacho tayari?
25
Lakini tunapotumaini kupata kitu ambacho hatuna, basi twakingojea kwa saburi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options