Skip to content
Warumi 8:12-13

Warumi 8:12-13

12
Kwa hiyo ndugu zangu, sisi tu wadeni, si wa mwili, ili tuishi kwa kuufuata mwili,
13
kwa maana mkiishi kwa kuufuata mwili, mtakufa, lakini kama mkiyaua matendo ya mwili kwa Roho, mtaishi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options