Warumi 7:18-19
18
Kwa maana ninafahamu kwamba hakuna jema lolote likaalo ndani yangu, yaani, katika asili yangu ya dhambi. Kwa kuwa nina shauku ya kutenda lililo jema, lakini siwezi kulitenda.
19
Sitendi lile jema nitakalo kutenda, bali lile baya nisilolitaka, ndilo nitendalo.