Skip to content
Warumi 4:4-5

Warumi 4:4-5

4
Basi mtu afanyapo kazi, mshahara wake hauhesabiwi kwake kuwa ni zawadi, bali ni haki yake anayostahili.
5
Lakini kwa mtu ambaye hafanyi kazi na anamtumaini Mungu, yeye ambaye huwahesabia waovu haki, imani yake inahesabiwa kuwa haki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options