Skip to content
Warumi 3:9-10

Warumi 3:9-10

9
Tusemeje basi? Je, sisi ni bora kuwaliko wao? La hasha! Kwa maana tumekwisha kuhakikisha kwa vyovyote kwamba Wayahudi na watu wa Mataifa wote wako chini ya nguvu ya dhambi.
10
Kama ilivyoandikwa: “Hakuna mwenye haki, hakuna hata mmoja.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options