Warumi 2:17-19
17
Tazama, wewe ukiwa unaitwa Myahudi na kuitegemea sheria na kujisifia uhusiano wako na Mungu,
18
kama unajua mapenzi ya Mungu na kukubali lililo bora kwa sababu umefundishwa na hiyo sheria,
19
kama unatambua kuwa wewe ni kiongozi wa vipofu, na mwanga kwa wale walio gizani,