Warumi 16:21-24
21
Timotheo, mtendakazi mwenzangu anawasalimu. Vivyo hivyo Lukio, Yasoni, na Sosipatro, ndugu zangu.
22
Mimi, Tertio, niliye mwandishi wa waraka huu, nawasalimu katika Bwana.
23
Gayo, ambaye ni mwenyeji wangu na wa kanisa lote, anawasalimu. Erasto, mweka hazina wa mji huu, pamoja na Kwarto ndugu yetu pia wanawasalimu. [
24
Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe pamoja nanyi nyote. Amen.]
Settings