Skip to content
Warumi 15:25-26

Warumi 15:25-26

25
Sasa, niko njiani kuelekea Yerusalemu kwa ajili ya kuwahudumia watakatifu huko.
26
Kwa kuwa imewapendeza watu wa Makedonia na Akaya kufanya changizo kwa ajili ya maskini walioko miongoni mwa watakatifu huko Yerusalemu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options