Skip to content
Warumi 11:18-20

Warumi 11:18-20

18
basi usijivune juu ya hayo matawi. Kama ukijivuna, kumbuka jambo hili: si wewe unayelishikilia shina, bali ni shina linalokushikilia wewe.
19
Basi utasema, “Matawi yale yalikatwa ili nipate kupandikizwa katika hilo shina.”
20
Hii ni kweli. Matawi hayo yalikatwa kwa sababu ya kutokuamini kwake, lakini wewe umesimama tu kwa sababu ya imani. Kwa hiyo usijivune, bali simama kwa kuogopa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options