Skip to content
Warumi 1:21-22

Warumi 1:21-22

21
Kwa maana ingawa walimjua Mungu, hawakumtukuza yeye kama ndiye Mungu wala hawakumshukuru, bali fikira zao zimekuwa batili na mioyo yao ya ujinga ikatiwa giza.
22
Ingawa walijidai kuwa wenye hekima, wakawa wajinga
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options