Skip to content
Ufunuo 9:7-9

Ufunuo 9:7-9

7
Wale nzige walikuwa na umbo kama la farasi waliotayarishwa kwa ajili ya vita. Kwenye vichwa vyao kulikuwa na kitu kama taji za dhahabu na nyuso zao zilikuwa kama za binadamu.
8
Walikuwa na nywele kama za wanawake, na meno yao yalikuwa kama ya simba.
9
Walikuwa na dirii kama za chuma, na sauti za mabawa yao zilikuwa kama ngurumo za farasi wengi na magari mengi yakikimbilia vitani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options