Ufunuo 9:7-8
7
Wale nzige walikuwa na umbo kama la farasi waliotayarishwa kwa ajili ya vita. Kwenye vichwa vyao kulikuwa na kitu kama taji za dhahabu na nyuso zao zilikuwa kama za binadamu.
8
Walikuwa na nywele kama za wanawake, na meno yao yalikuwa kama ya simba.